Iran inasema kuwa imefanyia majaribio kombora la Khorram-shahr.
Kombora hilo lilionyeshwa hadharani katika maonyesha ya kijeshi jana Ijumaa.
Iran imesema kuwa kombora hilo linaweza kusafiri mwendo wa kilomita 2,000.
- Marekani yaiwekea Iran vikwazo
- Ahmadinejad azuiwa kuwania urais Iran
- Marekani yasikitishwa raia wake kuhukumiwa Iran
- Iran yaitahadharisha Marekani kuhusu vikwazo
Kituo cha runinga cha taifa hilo kilionyesha picha za sherehe hizo.
Kombora la kwanza la Khorram-Shahr lilirushwa angani Januari lakini likalipuka katikati ya mwendo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni