Jumamosi, 23 Septemba 2017

Iran yafanyia majaribio kombora lake

Iran inasema kuwa imefanyia majaribio kombora la Khorram-shahr.
Iran inasema kuwa imefanyia majaribio kombora la Khorram-shahr.
Kombora hilo lilionyeshwa hadharani katika maonyesha ya kijeshi jana Ijumaa.
Iran imesema kuwa kombora hilo linaweza kusafiri mwendo wa kilomita 2,000.
Kituo cha runinga cha taifa hilo kilionyesha picha za sherehe hizo.
Kombora la kwanza la Khorram-Shahr lilirushwa angani Januari lakini likalipuka katikati ya mwendo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni