Jumamosi, 23 Septemba 2017

UKARABATI WA MAJENGO CHUO CHA UWANDISHI WA HABARI ARUSHA


Baadhi ya wanafunzi katika chuo cha uwandishi wa habari na utangazaji Arusha wametoa maoni yao kuhusu ukarabati wa majengo unaofanyika chuoni hapo.

wanafunzi hao wametoa maoni yao mapema hii leo walipokuwa wakizungumza na KAPONDO HOT NEWS .

Bw Matthayo Kijazi ambae ni mmoja wa wanafunzi chuoni hapo amesema ukarabati huo umeungwa mkono kwani kuna faida kubwa kwa majengo hayo kuboreshwa.

nae Bi Suzan Kimaro amesemakuwa ujenzi wa majengo hayo yataweza yataweza kuwafanya wasome vizuri kuliko hapo mwanzo.

Na mkuu wa chuo hicho Bw Andrew Ngobole kuwa lengo la kuboresha majengo hayo ni kufanya wanafunzai waweze kusoma katika mzngira bora na rafiki.
Hata hivyo ujenzi wa majengo hayo utakamilika November mwaka huu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni